Makubaliano hayo yalifikiwa jana kwenye mazungumzo kati ya marais hao wawili mjini St. Petersburg, Russia. Rais Putin amesema, Russia itaondoa vizuizi vya kuagiza bidhaa za Uturuki na makampuni ya Uturuki kufanya shughuli zao nchini Russia hatua kwa hatua. Aidha, pande hizo mbili zimekubaliana kutekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la gesi asili na kituo cha uzalishaji wa umeme kwa nishati ya nyuklia nchini Uturuki.source http://swahili.cri.cn
Tuesday, August 9, 2016
Home »
» HATIMAYE Russia na Uturuki zakubaliana kufufua uhusiano kati yao
HATIMAYE Russia na Uturuki zakubaliana kufufua uhusiano kati yao
Makubaliano hayo yalifikiwa jana kwenye mazungumzo kati ya marais hao wawili mjini St. Petersburg, Russia. Rais Putin amesema, Russia itaondoa vizuizi vya kuagiza bidhaa za Uturuki na makampuni ya Uturuki kufanya shughuli zao nchini Russia hatua kwa hatua. Aidha, pande hizo mbili zimekubaliana kutekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la gesi asili na kituo cha uzalishaji wa umeme kwa nishati ya nyuklia nchini Uturuki.source http://swahili.cri.cn