Saturday, August 6, 2016

WAHAMIAJI HARAMU WAITESA MKINGA


Wakiongea na mbunge wa viti maalumu kanda ya kaskazini SAUMU SAKALA, wamesema wahamiaji hao wamesababisha uharibifu mkubwa ikiwemo uharibifu wa mazingira na wizi wa mifugo.

Ambapo Mmoja wa wananchi hao swalehe swalo amewataja wahamiaji hao ni pamoja na kabila la waduruma na wakamba, ambao hukata miti, kuiba mifugo na kuuza kenya.

 Hatahivyo Mh SAKALA amewatoa hofu wananchi wa kata SIGAYA juu suala hilo nakusema kuwa atalifikisha kwa waziri wa Ulinzi ili lipatiwe ufumbuzi.

Hayo yameibuka katika ziara yakuangalia maendeleo mbalimbali sambamba na changamoto zinazowakabili wananchi wa  wilaya ya mkinga mkoani Tanga.
Share:

Hon. Saumu Heri Sakala

Hon. Saumu Heri Sakala
Member of Parliment (MP)

Video

Recent Posts