Tuesday, August 9, 2016

MWENYEKITI WA KIJIJI CHA USHONGO PANGANI ALIA NA ZAHATI



Mwenyekiti wa kijiji cha ushongo kata ya mwera wilayani pangani MUNGIA MGAZA  alalamikia hatua ya halmashauri ya wilaya ya pangani kwakutowasaidia kukamilisha jengo la zahati .
Ndugu mungia ameyasema hayo wakati  akiongea na saumusakalamp.blogspot.com na kuogeza kuwa kuwa jengo la zahanati limejengwa kupitia nguvu za wananchi lakini kwa sasa ujenzi huo umekwama na kila wakiomba msaada halmashauri kwaajili ya kumaliza ujenzi huo wamekua wakiahidiwa bila mafanikio.
Share:

Hon. Saumu Heri Sakala

Hon. Saumu Heri Sakala
Member of Parliment (MP)

Video

Recent Posts